Thursday, April 6, 2017

Ukerewe yashika nafasi ya 24 katika kampeni ya kitaifa ya Usafi na Mazingira


Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe imekua ikishiriki katika kampeni mbalimbli za Usafi wa Mazingira. Kampeni hii imefanikiwa kutokana na ushirikiano baina ya wadau mbalimbali pia kwa kuzingatia Sheria ya Managementi ya Utunzaji wa Mazingira N0. 20 ya 2003. Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe inaendelea na uboreshaji wa Usafi wa Mazingira kwa kufanya usafi katika maeneo mbali mbali. Zoezi hili linafanikiwa kwa kufanya kuwa na kampeni ya Usafi kila mwisho wa mwezi kwa kushirikisha jamii nzima.
KWA PAMOJA TUYATUNZE MAZINGIRA YETU!

No comments:

Post a Comment