Tuesday, July 16, 2019

FURSA ZA UWEKEZAJI UKEREWE




KARIBU UWEKEZE UKEREWE
Ukerewe ni moja ya maeneo bora zaidi katika Mkoa wa Mwanza kuwekeza katika fursa nyingi ikiwemo Uzalishaji wa samaki, dagaa na mazao yote ya ziwani, uwekezaji katika kilimo hasa matunda kama machungwa, maembe na machenza, uwekezaji wa usafiri ziwani kwani Ukerewe ina jumla ya visiwa 38. Huduma zote muhimu kama elimu, barabara, afya na upatikanaji wa chakula ni wa uhakika. 
karibu Uwekeze Nasi!

No comments:

Post a Comment